Benchi la ufundi la timu ya ndanda fc umetamba kufanya vizuri katika mchezo wake dhidi ya majimaji fc kutoka mkoani Ruvuma wanalizombe utakaopigwa mwishoni mwa wiki hii katika uwanja wa nangwanda sijaona mkoani Mtwara
from MICHUZI BLOG
via ZAMOTO MEDIA
0 Comments