Diamond Ameyasikia Aliyosema Zari Kuhusu Madale Kuitwa Gesti House....Ajibu Hivi

Diamond Platnumz azidi kuchukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya maneno yanayoendelea katika mitandao ya kijamii ya kudaiwa kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Tunda. Maneno hayo yameonekana kumfikia Diamond Platnumz.



Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini