Makamu wa Rais Mama Samia Akutana na Bosi wa UN Tanzania

Makamu wa Rais Mama Samia Akutana na Bosi wa UN Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu leo amekutana na Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez ambaye alimtembelea ofisini kwake.


Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu akizungumza na Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez

Miongoni mwa mambo waliyojadili ni ushirikiano mzuri unaoendelea kati ya mashirika lake na serikali ya Tanzania.


Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini