Hiki Hapa Kikosi cha Yanga Dhidi ya Township Rillers

Hiki Hapa Kikosi cha Yanga Dhidi ya Township Rillers
Mwakilishi wa michuano ya klabu bingwa barani Afrika klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho ikabili timu ya Township Rillers FC ya Botswana hii leo.

Yanga SC itashuka uwanjani kuwakabili wenyeji wao Township katika michuano hiyo ya kombe la klabu bingwa barani Afrika huku ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza katika mchezo uliyopita kwa jumla ya mabao 2 – 1.

Kikosi cha Yanga SC kinachoshuka dimbani leo dhidi ya Township Rollers FC ya Botswana 1. Youthe Rostand 2. Juma Abdul 3. Gadiel Michael 4. Vicent Andrew 5. Kelvin Yondani 6. Said Juma 7. Yussuf Mhilu 8. Papy Kabamba 9. Obrey Chirwa 10. Pius Buswita 11. Kamusoko Kamusoko.




Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini