Mashamba Yanayofutwa Wapewe Wananchi Waliodhulumiwa na Wakubwa


MOROGORO: Rais Magufuli asema mashamba yote yanayofutwa wapewe wananchi bure, ni mali yao. Walidhulumiwa kipindi cha miaka ya nyuma na wakubwa fulani kujimilikisha

Aidha, Rais John Magufuli ameagiza wafanyabiashara ndogondogo wa Stendi ya Morogoro kutobugudhiwa, amchaia Shilingi laki moja mama aliyeibua kero hiyo

Amewataka Watanzania kubadilika kwa kuwekeza katika viwanda, kwamba suala la viwanda linawezekana nchini

Rais amesema “Tusirudie tena kuua viwanda Serikali nitaunga mkono viwanda vyote vinavyoanzishwa. Nafahamu kuna baadhi ya vikodi kodi vinavyoleta kero, tayari nimeshatoa maelekezo kwa waziri wa viwanda kuangalia upya hizo kodi,”

Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini