Mwanaume ‘Anayeiba Sehemu za Siri’ za Wanawake Ahukumiwa Jela

Mwanaume mmoja Raia wa Denmark ambae alikutwa na viungo vya sehemu za siri za wanawake akiwa ameviweka kwenye freezer amehukumiwa vifungo viwili vya maisha na Mahakama ya Afrika Kusini.

Mwanaume huyu Peter Frederiksen amehukumiwa kwa makosa ya kumbaka mtoto na kuua mke wake, ambapo madai ya kukutwa na viungo vya sehemu za siri za wanawake yalitupiliwa mbali na mahakama baada ya kukosa ushahidi wa kutosha.

Frederiksen amehukumiwa kwa mashtaka 36 ambayo alishtakiwa nayo mwaka jana 2017 ikiwa ni pamoja na kuandaa video za ponografia zinazohusisha watoto
Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini