UTANI MWINGINE HUU: Mkaliwenu Baada ya Sare ya 2-2 ya Simba SC vs Al Masry

Wekundu wa msimbazi Simba Jumatano ya March 7 2018 walicheza mchezo wao wa kwanza wa round ya kwanza wa michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Al Masry.

Simba walikuwa wenyeji wa Al Masry katika mchezo huo uliyochezwa Taifa, Simba wakiwa nyumbani wamelazimishwa sare ya 2-2, baada ya mchezo huo kumalizika mchekeshaji Mkaliwenu amejirekodi video fupi na kuanza kuleta utani wake kuwa Simba wamesaidiwa na mvua.


Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini