Simba walikuwa wenyeji wa Al Masry katika mchezo huo uliyochezwa Taifa, Simba wakiwa nyumbani wamelazimishwa sare ya 2-2, baada ya mchezo huo kumalizika mchekeshaji Mkaliwenu amejirekodi video fupi na kuanza kuleta utani wake kuwa Simba wamesaidiwa na mvua.
Sponsored by ZAMOTO MEDIA
0 Comments