Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF ambaye anatambulika na Msajili wa vyama vya siasa, Profesa Ibrahim Lipumba ameibuka leo katika mkutano wa chama hicho na kumtupia dongo Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Hamad akimuita mbinafsi huku akisema chama hicho kimemdekeza sana.
0 Comments