Video: Wakili wa Abdul Nondo Afunguka Mazito

Video: Wakili wa Abdul Nondo Afunguka Mazito
Kufuatia sakata la Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Abdul Nonda ambae pia kiongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania TSNP la kudaiwa kutekwa, leo Machi 17 Jebra Kambole ambae ni Wakili wa Mwanafunzi huyo amefunguka na kudai kuwa mpasa sasa hajaonana nae ili kujua kinachoendelea juu yake.



Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini