Waarabu Waigomea Azam Tv Kurusha Mchezo wa Al Masry Dhidi ya Simba

Waarabu Waigomea Azam Tv Kurusha Mchezo wa Al Masry Dhidi ya Simba
Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Al Masry SC dhidi ya Simba Sc hautorushwa hewani na kituo chochote cha Runinga.

Awali kulikuwa na matarajio ya mechi kuoneshwa na kituo cha Azam TV baada ya kutangaza kurusha mechi ya Township Rollers dhidi ya Yanga.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Simba, Haji Manara, amesema uongozi wa Al Masry umeigomea Azam TV kurusha mechi hiyo itakayoanza saa 2:30 usiku ambapo sababu hazijajulikana.
Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini