Huyu Ndio Rais wa Nchi ya Africa Anayeishi Switzeland Hotelini


JE WAJUA?: Rais wa Cameroon, Paul Biya mwenye umri wa miaka 85 anaishi katika hoteli ya kifahari nchini Switzerland inayogharimu Shilingi za Kitanzania zaidi ya Milioni 91

Rais Biya aliyeitawala Cameroon tangu mwaka 1982 huitembelea nchi yake mara kwa Mara na huitisha kikao cha Baraza la Mawaziri mara 1 kila baada ya miaka 3

Kiongozi huyo ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais kwa muhula wa 7
Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini