Mchezaji Kombe la Dunia Atimkia Tanzania Baada ya Kutolewa


Kiungo wa timu ya taifa ya Spain 🇪🇸 na klabu ya Atletico Madrid Koke yupo mapumzikoni katika mbuga ya NgoroNgoro Tanzania - Koke alikuwa miongoni mwa wachezaji wa Spain walioshiriki katika michuano ya Kombe la Dunia na kutolewa katika hatua ya 16 bora.

Sponsored by ZAMOTO MEDIA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini