Diamond Adaiwa Kutelekeza watoto wake


Hii Ni kwa mujibu wa mzazi mwenzie aliezaa nae watoto 2 Zari Hassan maarufu Kama Zari the bosslady

Kupitia comment akimjibu shabiki Zari amesema amekuwa akilea watoto wake mwenyewe peke yake

Je kweli diamond platnumz pamoja na kusemekana ndio msanii tajiri zaidi Tanzania kweli kashindwa kuwapa malezi watoto wake?

Diamond amekuwa akiandamwa kwenye mitandao kufuatia sakata la baba yake


Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini