WASANII WAKONGWE WABWAGWA TUZO ZA SZIFF | ZamotoHabari

  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Tulia Akson Mwansasu akikabidhi tuzo ya Msanii Bora wa kike, Mtoto Kutoka Iringa aliyecheza Filamu ya Kesho
 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Tulia Akson Mwansasu akizungumza wakati wa ufunguzi usiku wa Tuzo za Sinema Zetu Film Festival zilizofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.
 Mseamaji wa Klabu ya Simba Haji Manara akikabidhi Tuzo kwa Muongozaji wa Filamu John Kallaghe
 Wema Sepetu akizungumza Jambo na Wadau wa Muziki waliofika katika tuzo hizo za Sinema zetu
 Baadhi ya Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wakifuatilia Tuzo za Sinema Zetu zilizofanyika Mlimani City.
 Washehereshaji wa Tuzo hizo Baruani Muuza na Elizabeth Michael wakiwa jukwani wamependeza
 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akitoa neno kama Mlezi wa Tuzo hizo na kukaribisha msimu wa tatu
 Muigizaji Maarufu katika Sinema ya Sultan Shaazad Mustafa akiwasili katika ukumbi wa Mlimani City Mahali ambapo Tuzo za Sinema zetu zilifanyika.


Credit to Michuzi

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini