Dereva wa Mwendokasi Kizimbani Kwa Kumkata Abiria Kidole | ZamotoHabari.


Khalid Shaha(43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kujibu shtaka la kumkata kidole Godfrey Liwa kwa kioo cha gari
-
Hata hivyo mshtakiwa alikana kutenda kosa hilo na aliachiwa kwa dhamana hadi Machi 12, 2019
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini