Jinsi Dawa Za Asili Za Kuongeza Ukubwa Wa Mwili Zinavyo Fanya Kazi.

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kitaalamu, makalio  ya  mwanadamu  yanaundwa  na  vitu  vikuu  vitatu  ambavyo  ni  ( 1 )  Misuli  ( 2 ) Tishu  na  ( 3 )  Mafuta .  Vitu  vyote  hivi  vitatu  vinafunikwa  na  ngozi.

Kwa  mantiki  hiyo  basi , ukubwa  na  shape  ya  makalio  ya  mtu  hutegemeana  na  vitu  hivyo  vitatu  nilivyo  viorodhesha  hapo  juu  yani  uwingi na  ukubwa  wa  misuli, tishu pamoja  na  uwingi wa  mafuta kwenye  makalio.

Tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zinaonyesha  kuwa mtu  anaweza  kufanya  mazoezi  maalumu  kwa  ajili  ya  kukuza  misuli  ya  kwenye  makalio.

Vile  vile  inawezekana  kwa  mtu  kula  kwa  wingi  vyakula  vyenye  mafuta  kwa  ajili ya  kuongeza  kiasi  cha  mafuta  kwenye  makalio.

Hata  hivyo  wana sayansi  wana  tahadharisha  kuwa  kula  vyakula  vyenye  mafuta  kwa  lengo la kuongeza  ukubwa  wa  makalio kunaweza  pia  kusababisha  mafuta  hayo  kwenda  katika  sehemu  zingine  za  mwili  yani  mtu  kuongezeka pia  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwilini mwake  kama  vile tumbo  na kunenepa  mwili mzima.

Jinsi    dawa  za  asili  za  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  zinavyo  fanya  kazi.

Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, dawa za  asili  za  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  zinafanya  kazi  kwa kukuza  misuli  ya  kwenye  makalio  na  kuongeza  kiwango  cha  mafuta kwenye  ngozi ya  ndani  ya  makalio.

 Katika  kuongeza  kiwango  cha  mafuta  kwenye  makalio, dawa  hizo  za  asili  hufyonza  mafuta  kutoka  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili na  kuyaelekeza  kwenye  makalio  na  hivyo  kumfanya  makalio  ya  mtumiaji  yaongezeke  na  kuwa  makubwa.

Kwa  kawaida  dawa  nyingi  za asili  zinazo  tumika  kwa  ajili  ya  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  hutumika kwa  muda  wa  siku  thelathini  na  huanza  kuonyesha matokeo  baada ya  siku  kumi  na  tano.

Kwa  maoni  na  ushauri  kuhusu  tiba  mbalimbali  za  asili, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO PLAZA  karibu  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0693  005 189.

Na  kwa  elimu  zaidi  kuhusu  tiba  mbalimbali za  asili, tutembelee  kila  siku  kupitia  tovuti  yetu :




Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini