MKUU WA MKOA ATUA KIJIJI CHA KABALE KUKAMILISHA MAANDALIZI YA MAZISHI YA RUGE

Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jeneral Marco Gaguti amefika nyumbani kijijini kabale, Bukoba katika msiba wa Ruge Mutahaba ili kuungana na kamati ya maandalizi kwa ajili ya kukamilisha mipango ya mazishi.

Mwili wa Ruge tayari umeshawasili nchini ukitokea Afrika Kusini na Utazikwa Jumatatu March 4, 2019 

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini