Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jeneral Marco Gaguti amefika nyumbani kijijini kabale, Bukoba katika msiba wa Ruge Mutahaba ili kuungana na kamati ya maandalizi kwa ajili ya kukamilisha mipango ya mazishi.
Mwili wa Ruge tayari umeshawasili nchini ukitokea Afrika Kusini na Utazikwa Jumatatu March 4, 2019
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA
0 Comments