Rufaa ya Mbowe na Ester Matiko Kusikilizwa Kesho | ZamotoHabari.

Mahakama Kuu ya Tanzania kesho Machi 6,2019 inatarajia kuanza kusikiliza rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko ya kupinga kufutiwa dhamana na Mahakama ya Kisutu.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kutupilia mbali pingamizi za Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) ya kupinga mahakama hiyo kusikiliza rufaa hiyo, Machi 1, 2019.

Rufaa hiyo inatarajiwa kusikilizwa kesho mbele ya Jaji Sam Rumanyika ambapo alisimamisha kusikiliza rufaa hiyo kutokana na rufaa ya DPP.


Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini