Hatua hiyo inakuja baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kutupilia mbali pingamizi za Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) ya kupinga mahakama hiyo kusikiliza rufaa hiyo, Machi 1, 2019.
Rufaa hiyo inatarajiwa kusikilizwa kesho mbele ya Jaji Sam Rumanyika ambapo alisimamisha kusikiliza rufaa hiyo kutokana na rufaa ya DPP.
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA
0 Comments