Serikali ya Uganda imeishutumu Rwanda kwa kuyazuia magari ya mizigo, ya abiria na Wananchi wake kuingia nchini humo
Msemaji wa Serikali ya Uganda, Ofwono Opondo amewaambia Waandishi wa Habari kuwa takribani magari ya mizigo 129 yamekwama kwenye mpaka wa Uganda na Rwanda
Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Richard Sezibera amekanusha shutuma hizo na kusema magari yalitakiwa kuvuka kupitia mpaka wa Kagitumba
Akaongeza kuwa mpaka wa Gatuna umefungwa kwa ajili ya kupisha ujenzi
-
Rwanda imesema kuwa imewazuia raia wake kwenda Uganda kwakuwa wamekuwa wakikamatwa kwa tuhuma za kutumwa kwenda kupeleleza
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA
0 Comments