Mlipuko mkubwa, sauti za bunduki na mabomu imesikika ndani ya Hoteli ya Maka Al-Mukarama Mjini Mogadishu na kundi la Al-Shabaab linadaiwa kuhusika na tukio hilo
Mpaka sasa idadi ya majeruhi imeongezeka hadi kufikia watu zaidi ya 60
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA
0 Comments