WAZIRI SHONZA ASHIRIKI MAONESHO YA WADAU WA SHEREHE NA HARUSI YA ADORABLE WEDDING TRADE FAIR JIJINI DAR | ZamotoHabari

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (katikati) akipata maelekezo kuhusu bidhaa za wajasiriamali wa Sherehe na Harusi kutoka kwa Mkurugenzi wa Adorable Wedding Trade Fair Bi. Anna Lema wakati wa maonesho ya wadau wa Sherehe na Harusi ya Adorable Wedding Trade Fair yaliyofanyika jana jijini Dar Es Salaam.

Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini