KAMATI YAPENDEKEZA HALMA MDEE KUSIMAMISHWA KUHUDHURIA BUNGENI KISA CAG


Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imependekeza Bunge kumsimamisha mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee kuhudhuria mikutano miwili ya Bunge kuanzia tarehe ya azimio hilo kutokana na kuunga mkono kauli ya CAG.

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini