Lionel Messi kukosa mechi zote dhidi ya Man United | ZamotoHabari.

Klabu ya Barcelona leo imethibitisha kuwa nyota wao Lionel Messi atakuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki sita kufuatia maumivu aliyopata katika goti lake la kushoto jana jumapili kwenye mazoezi ya timu hiyo.

Imethibitishwa kuwa mchezaji huyo atakosa mechi sita za mwezi wa nne zikiwamo mbili za robo fainali klabu bingwa Ulaya dhidi ya Man United. Hii itakuwa ni habari nzuri kwa mashabiki wa Man United ambao walikuwa wakionekana kuwa na kazi nzto mbele wa miamba hiyo kutoka Uhispania kwenye ligi ya mabingwa  Ulaya.
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini