PICHA: Rais Magufuli Alivyokutana na Godbless Lema Katika Msiba wa Dada yake Mchungaji Msigwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wakati akitoka kutoa heshma za mwisho kwenye msiba  wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam.




Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini