Pierre Liquid atua Bungeni Dodoma

Peter Mollel maarufu Pierre Konki Liquid leo Jumatano April 3, 2019  yuko ndani ya ukumbi wa Bunge tayari kwa kushuhudia wabunge wakiendelea na kikao cha pili cha mkutano wa Bunge la Bajeti, jijini Dodoma leo.

Tazama hapo chini alivyopokelewa na Spika wa Bunge Job Ndugai na Naibu Spika Dr Tulia Ackson



Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini