Sehemu ya wakaazi wa maeneo mbalimbali ya mji wa Unguja, Zanzibar wakiwa wamefurika kwa wingi katika soko la Darajani ili kujipatia mahitaji mbalimbali kuelekea sikukuu ya Eid El Fitr, inayotazamiwa kuwa tarehe za mwanzoni mwa mwezi ujao, kufuatana na mwandamo wa mwezi baada ya mfungo mtukufu wa Ramadhan.
Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO












0 Comments