Rais wa Zanzibar Dr Shein kwa mujibu wa sheria na mamlaka aliyonayo ameutangaza mji wa Zanzibar kuwa Jiji.
Hivyo kuanzia sasa mji wa Zanzibar unajulikana kama Zanzibar City.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA




0 Comments