| ZamotoHabari.

Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu ch Dar es Salaam, Prof Rwekaza Mukandala akizungumza na Waandishi kuhusu mada ya leo katika kigoda cha mwalimu ilihusu kuwawezesha watotokupata elimu na kupingana na ajira za mapema wakiwa katika umri wa kwenda shuleni.
 Mkurugenzi wa Haki Elimu Tanzania, Dr.John Kallage akizungumza na Wanazuoni waliofika katika Kigoda cha Mwalimu Nyerere,Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
 Mjumbe wa bodi wa LHRC, Felister Mahuya  akizungumza katika Kigoda Cha Mwalimu Nyerere kilichofanyika jijini Dar es Salaam
 Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu ch Dar es Salaam, Prof Rwekaza Mukandala , akiwa na Jaji Damiani Lubuva wakifatilia Mjadala wa kujadili elimu kwa watoto wadogo
 Wachambuzi  wa mada katika kigoda cha Mwalimu Nyerere , wakiwa katika Panelist
 Washiriki wa Kongamano la Kigoda cha Mwalimu Nyerere wakinyooosha mikono Kuchangia mada

Msanii wa Muziki wa Kughani kutoka Mjomba Bendi , Mrisho Mpoto akiwa amezungukwa na Wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
 Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya  kutoka Mjomba Bendi, Ismail akiongoza Burudani katika kigoda cha Mwalimu
 Sehemu ya Washiriki wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere Katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam



Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini