Abdullatif. Yunus Michuzi Tv.
Mchezo wa Play off uliokuwa uchezwe dhidi ya Kagera Sugar na Pamba umeahirishwa mpaka kesho kwa kile kilichodaiwa kuwa Timu ya Pamba Fc ya Jijini Mwanza kugomea Mechi hiyo kurushwa hewani Mubashara na Azam TV ambao wamefika hapo uwanjani mapema kwa ajili ya kurusha mchezo huo.
Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi inasema imelazimika mchezo huo kuahirisha mpaka kesho ambapo sasa utarushwa, ingawa Mpaka sasa Timu ya Pamba haijatoa sababu za kugomea matangazo hayo, ilihali Azam wana lengo la kuweka mambo bayana.
Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO






0 Comments