NAIBU WAZIRI JULIANA SHONZA AWAASA VIJANA VISIWANI ZANZIBAR KUTHAMINI VIPAJI VYAO | ZamotoHabari


Naibu Waziri wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza akisalimiana na wachezaji wa timu ya Miembeni kabla ya kuanza kwa mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Masauni/Jazeera uliofanyika katika Viwanja vya Tumbaku, Visiwani Zanzibar. 
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kundemba, kabla ya kuanza kwa mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Masauni/Jazeera uliofanyika katika Viwanja vya Tumbaku, Visiwani 
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza kabla ya kuanza mchezo wa Nusu Fainali wa Mashindano ya Masauni/Jazeera uliofanyika katika Viwanja vya Tumbaku, Visiwani Zanzibar. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza. 
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Juliana Shonza akizungumza kabla ya kuanza mchezo wa Nusu Fainali wa Mashindano ya Masauni/Jazeera uliofanyika katika Viwanja vya Tumbaku, Visiwani Zanzibar. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Mhandisi Hamad Masauni.Picha na Mpigapicha Wetu


Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipoBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini