Timu ya taifa ya Ureno wamekuwa mabingwa mara mbili kwenye mashindano ya UEFA National League mara baada ya kuifunga goli 1-0 Uholanzi kwenye mchezo wa Fainali.
Ureno wamekuwa mabingwa mara mbili katika mashindano manne yaliyopita waliyoshiriki.
1 : EURO 2016.
2 : EURO NATIONAS LEAGUE.
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA




0 Comments