Basi laanguka Kwenye Mlima, Watatu Wafariki | ZamotoHabari.

Basi laanguka kwenye mlima, watatu wafariki
Watu watatu wamekufa na wanne walipotea baada ya basi ya utalii kupoteza udhibiti baada ya kugongwa na jiwe kutoka kwa mlima siku ya jana katika Mkoa wa Sichuan kusini magharibi mwa China.

Basi hilo lilikuwa limebeba watu 30, iliteleza kwenye nyasi kando ya barabara baada ya kugongwa na jiwe. Hadi sasa watu watatu wamethibitishwa kufariki, na wengine 18 walijeruhiwa. Wanne hawajulikani walipo, kulingana na serikali ya kata
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini