Harmonize na Sara Wafunga NDOAa za Kimyakimya | ZamotoHabari.

Rajab Abdul Kahali Maarufu kama Harmonize amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Sara,wawili hao wamefunga ndoa ya kiislamu jijini Dar es Salaam, leo Septemba 7,2019.

Mkali huyo wa ‘Inabana’ aliahidi kufunga ndoa na mchumba wake huyo pindi tu alipomvalisha pete mapema mwaka huu.

Sara na Harmonize imekuwa ‘couple’ maarufu nchini tangu walipokutana, huku akimuweka kwenye baadhi ya video za nyimbo zake.



Katika hatua nyingine, Mwanamuziki mkongwe, Nguza Viking maarufu Babu Seya naye amefunga ndoa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Muheza (DAS), Esterine Haule. Wawili hao wamefunga pingu za maisha katika Kanisa Katoliki la Sinza Jijini Dar es Salaam.
Tembelea Website ya Nyimbo za Injili Africa. Pakua na Kusikiliza bure bila malipo
BOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini