MAJALIWA AZUNGUMZA NA MSHAURI WA MASUALA YA AFYA WA JAPAN | ZamotoHabari.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mshauri Maalum wa Masuala ya Afya wa Taasisi ya Tokushukai General Incorporated ambayo iko chini ya serikali ya Japan , Bw. Akio Egawa kwenye uwanja wa ndege wa Narita nchini Japan kabla ya kuondoka kurejea nyumbani baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi nchini humo, Septemba 2, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wafanyakazi wa hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan alikokuwa amefikia wakati alipoondoka kurejea nyumbani baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi, Septemba 2, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini