RAIS WA ZAMANI WA ZIMBABWE AFARIKI DUNIA | ZamotoHabari.

RAIS wa zamani wa nchini Zimbabwe, Robart Mugabe amefariki dunia akiwa na miaka 95 huko nchini Singapore alipokuwa akipata matiabu.

Hayati Mugabe aliongoza nchi ya Zimbabwe kuanzia mwaka 1980 hadi 2017 ambapo alipata mrithi wake ambaye ni Rais wa sasa wa nchi hiyo, Emmerson Mnangagwa.

Rais Mugabe ambaye alionekana akisema maneno mengi ya masihara katika mtandao ya kijamii na yenye ukweli ndani yake kama  "SOMETIMES YOU LOOK BACK TO YOUR AT GIRLS
 YOU SPEND MONEY ON RATHER IT TO YOUR MUM AND REALISE WITCHCRAFT IS REAL".


Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini