TCRA yawafikia wanasongwe Uhamasishaji usajili wa laini za simu kwa alama za vidole | ZamotoHabari.

Afisa TCRA akiwahudumia Wananchi katika Kampeni ya Mnada kwa Mnada iliyofanyika katika Viwanja vya Soko la Mlowo mkoani Songwe.
Mkuu wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mhandisi Asajile John akizungumza na Wananchi Viwanja vya Soko Mlowo mkoani Songwe wakati wa Kampeni ya Mnada kwa Mnada ya TCRA ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha usajili wa laini za simu kwa alama pamoja na Huduma zingine kwa kushirikiana na wadau.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma Thomas William akizungumza na Wananchi wa Songwe taratibu za upatikanaji wa vitambulisho vya taifa katika Kampeni ya Mnada kwa Mnada ya TCRA iliyofanyika katika Viwanja vya Soko la Mlowo mkoani Songwe.
Sehemu ya matumizi ya Huduma mbalimbali ya Kampeni ya Mnada kwa Mnada katika Soko la Mlowo mkoani Songwe.
Sehemu ya matumizi ya Huduma mbalimbali ya Kampeni ya Mnada kwa Mnada katika Soko la Mlowo mkoani Songwe.


Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini