RUSHWA NI ADUI WA HAKI,KATAA KIONGOZI ANAECHAGULIWA KWA RUSHWA | ZamotoHabari.

Uchaguzi wa serikalizamitaa unaelekea ukingoni, Wananchi mtakutana na viashiria mbalimbali vya rushwa, mkatae kiongozi anaechaguliwa kwa rushwa, chagua kiongozi asiyependa rushwa, Kanyaga rushwa chagua maendeleo, hata  kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa kataa rushwa tenda haki.


Jiunge Grupu la Mishono ya Vitenge VITENGE MISHONO

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini