Makamu wa rais wa zamani wa Marekani Joe Biden Jumapili usiku aliahidi kwamba iwapo atapata uteuzi wa chama cha Demokratik wa kuwania urais kwenye uchaguzi ujao wa mwezi Novemba, atamteua mwanamke kama mgombea mwenza.
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA
0 Comments