Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amesema alipokwenda kumfuata Vincent Mashinji aliingia peke yake sasa Chadema walikwenda hadi na daladala haiwezekani.
“Nilipokwenda kumtoa Mashinji niliingia peke yangu, nilipokwenda kumtoa Mchungaji Msigwa kwa niaba ya Mkwewe niliingia peke yangu,” aliandika Polepole katika ukurasa wake wa Twitter
“Sasa ninyi mlikwenda mpaka na madaladala mwe mwe mwe wanyambala haiwezekani,” aliandika Polepole.
Alisema kila sehemu kina utaratibu wake ukiuvunja unaweza kuleta madhara kubwa
Nilipokwenda kumtoa Mashinji niliingia peke yangu, nilipokwenda kumtoa Mchungaji Msigwa kwa niaba ya Mkwewe niliingia peke yangu, sasa ninyi mlikwenda mpaka na madaladala mwe mwe mwe wanyambala haiwezekani. Kila pahala pana utaratibu wake, ukiuvunja unaweza kuleta madhara makubwa https://t.co/lGhTm6dY3l— Humphrey Polepole (@hpolepole) March 15, 2020
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA
0 Comments