Ugonjwa wa Corona Wamtia Simanzi Mbwana Samatta | ZamotoHabari.


Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club ya Aston Villa ya England Mbwana Samatta ameonekana kuwa miongoni mwa watu wanaopata mawazo sana wakati huu wa virusi vya corona.

“Haya maisha ya kuwa tu ndani yamenifanya niwafikirie zaidi wenzetu waliopo magerezani… nina uhuru wa kwenda supermarket na wa kula chakula ninachokitaka achana na tv, simu, kitanda chenye joto😁(if you know what I mean) wenzetu hawana hivi vitu..tuwaombee sana wanayopitia ni magumu”>>> Samatta

Samatta amejiunga na Aston Villa Janury 2020 akisaini mkataba wa miaka minne na nusu akitokea KRC Genk ya Ubelgiji hadi sasa amecheza game 6 na kufunga magoli 2 kabla ya Ligi kusimama.

APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini