Matokeo ya Yanga na JKT Tanzania...Yanga Yatulizwa Kasi...Yaambulia Point Moja | ZamotoHabari.


Hatimaye game imemalizika katika Uwanja wa Jamhuri, Makao makuu ya Nchi, Dodoma. Hakuna mbabe.

Kadi mbili nyekundu zatolewa kwa Lamine Moro wa Yanga na Mwinyi Kazimoto wa JKT.

FT: JKT Tanzania 1-1 Yanga SC.

APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini