Joh Makini Akana Weusi Kuwahi Kuwa na Ugomvi na Producer Nahreel | ZamotoHabari.


Tunatumai wewe sio mgeni wa zile fununu kwamba Weusi walizinguana na mwimbaji pia mtayarishaji Nahreel na ndio maana wakakata mguu kwenda kurekodi kwenye studio zake.

Kwenye XXL Clouds FM, Weusi wamesema hawakuwahi kuwa na tofauti yoyote na nahreel, moja kati ya watayarishaji ambao wametengeneza kazi nyingi. Hii imekuja baada ya Joh Makini leo kuachia mkwaju wake #Dangerous akimpa shavu la nguvu Nahreel

APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini