Deus Kaseke amaliza ubishi Chamazi. Yanga yaondoka na pointi zote tatu | ZamotoHabari.





Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwa mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga kwenye dimba la Chamanzi jijini Dar, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa goli 1-0.
FT: Azam FC 0-1 Yanga SC (Kaseke 48’) 




APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini