Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwa mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga kwenye dimba la Chamanzi jijini Dar, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa goli 1-0.
FT: Azam FC 0-1 Yanga SC (Kaseke 48’)
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA



0 Comments