TAARIFA KWA UMMA: DAWASA TABATA YAHAMIA OFISI MPYA | ZamotoHabari.

 

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawataarifu umma na wateja wake kuwa, ofisi ya Mkoa wa kihuduma DAWASA Tabata iliyokuwa Tabata Shule  sasa imehamia eneo la Tabata Segerea (Chama).

Hivyo kuanzia leo tarehe 16.11.2020 huduma zote kwa wateja wa DAWASA  zitatolewa katika ofisi hiyo mpya.
 
Kwa mawasiliano zaidi tafadhali wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (bure) au 0736 451867 huduma kwa wateja DAWASA Tabata.

#Dawasa tunawafikia


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini