Unaambiwa Pogba Hana Furaha Man United | ZamotoHabari.

 


Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa Didier Deschamps amesema kuwa anaamini kuwa kiungo wa Ufaransa Paul Pogba (27) kwa sasa hana furaha katika klabu ya Manchester United.


“Paul (Pogba) namuelewa vizuri na anawaelewa vizuri wenzake, (Paul) yupo katika hali ambayo hawezi kuwa na furaha katika klabu yake, wala sio kwa sababu ya nafasi anayocheza au muda anaopata wa kucheza”


“Hayupo katika kipindi kizuri amekuwa na mfululizo wa matukio ya majeruhi na kupata Corona ambayo ilimuumiza sana anahitaji kurudisha hali” Deschamps VIA Sport Witness



APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini