Wagombea wakuu wa urais kupitia vyama vya upinzani nchini Uganda wametangaza kusitisha kampeni zao hadi pale mgombea mwenzao Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine atakapoachiliwa na polisi.
APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA
0 Comments