Mmea Mkubwa Unaokula Nyama.... | ZamotoHabari.



Mmea mkubwa unaokula nyama unajulikana kama 'Montane Pitche' wa aina ya 'Nepenthes Rajah' na una urefu wa sentimita 41

Ulionekana Kisiwa cha Borneo mwaka 2011. Mmea huu ambao una kama dibwi (Pitch) unatumia majimaji yake kuwavutia na kuwanasa wadudu warukao kama buibui wakati mwingine hukamata hata mijusi na vyura

Mimea mingine inayokula nyama ni Flypaper Plant, Cobra Lily na Venus Flytrap

Katika yote hiyo uliovunja rekodi ya kula viumbe wakubwa ni huo Nepenthes Rajah ambao umeingia kwenye Rekodi ya Dunia



APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini