KUTOKA MTAANI KWETU LEO JUNI 14,NDANI YA KILWA | ZamotoHabari.



Ujenzi  wa  barabara ya Kilwa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaa unaendelea kwa kasi kama inavyoonekana pichani mafundi wakiendelea na kazi ya kuhakikisha barabara inakamilika kwawakati ili kuwapunguzia foleni wananchi wanaoishi Mbagala na maeno mengine ya jiji.
Ujenzi wa barabara ya Kilwa wilya ya Temeke jijini Dar es Salaam         ukiendelea kwa kasi kama inavyoonekana  pichani.
(Picha zote na  Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini