Tanzia: Mwanzilishi wa Antivirus ya Mcafee Afariki Dunia | ZamotoHabari.



John McAfee amefariki katika chumba kimoja cha Gereza katika Jiji la #Barcelona, Uhispania

Umauti umemkuta saa chache baada ya Mahakama Nchini humo kuamua kumsafirisha hadi Marekani ili akashtakiwe kwa makosa ya kukwepa kodi

Taarifa za awali zinaeleza uwezekano wa John #McAfee kujiua


APP YETU MPYA: Sasa unaweza kusoma kwa urahisi kupitia APP yetu. Download hapa kwa KUBOFYA HAPA

Post a Comment

0 Comments

close
Banner iklan disini